Kashfa Nyingine nne nzito Zinakuja

Kashfa Nyingine nne nzito Zinakuja

.... Inatia Hasira Mkuu, Viwanda Vinakufa, Watu Zaidi Ya Laki Moja Wanakosa Ajira, Alafu Viongozi Wanatuambia Tujiajiri Wenyewe.!!
ndio maana hutuma wawakilishi kwenye mikutano nyeti
 
Zitto washughulikie na ufisadi Wa bomba la gesi......


Masikini nchi yangu TZ......

Dawa ya hizi scandals ni kuziundia Tume ya Bunge kuliko kutegemea CAG na TAKUKURU ili zishughulikiwe haraka na bila kumwonea haya mtu!
 
​hii ya sukari PM nadhani sa hvi tumbo linakorogana anaenda toilet mara 3,3
 
yaan apa mwarobaini wa ufisadi wote huu ni kubadili katiba itakayoziba mianya ya rushwa na kudhibiti matumizi mabaya ya ofisi zao,tuikatae katiba pendekezwa na tuirudishe katiba ya Jaji Warioba.
 
Imeshapita hiyo

kp01122014.jpg
 
Kuna jamaa mmoja mwenye asili ya wale wale akina nanihiii, yeye huingiza sukari akidai kuwa ni raw materials kwa ajili ya kutengenezea juice zake na vitu vya namna hio (kumbuka raw materials nyingi hazina kodi) kwa hio huenda mahali fulani kwenye moja ya magodauni na viwanda vyake na kuipaki kama sukari kamili na kuiuza ....... jamaa anapiga pesa ahdi basi lusungo tpaul njooni na mimi nimeingia kwenye PAC ntakuja na report yangu na maazimio yangu
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa mmoja mwenye asili ya wale wale akina nanihiii, yeye huingiza sukari akidai kuwa ni raw materials kwa ajili ya kutengenezea juice zake na vitu vya namna hio (kumbuka raw materials nyingi hazina kodi) kwa hio huenda mahali fulani kwenye moja ya magodauni na viwanda vyake na kuipaki kama sukari kamili na kuiuza ....... jamaa anapiga pesa ahdi basi lusungo tpaul njooni na mimi nimeingia kwenye PAC ntakuja na report yangu na maazimio yangu

Mkuu inasikitisha Sana TZ imekua Kama Nyumba isiyo na wakaaji tuchukue maamuzi magumu 2015...
 
Last edited by a moderator:
Huyo Balozi Ami Mpungwe ndiye aliyeshiriki katika mikakati yote ya Makampuni ya SOUTH AFRICA yaliowekeza na kununua mashirika ya Uma. Chunguzeni vizuri yeye ana hisa kubwa sana kwenye makampuni yalinunuliwa na mkaburu.
 
Kwenye uchaguzi wanatuibia kura wakiingia madarakani wanatukaanga.......Inaniuma sana

hujaibiwa kura bado kuna wajinga wengi sana tanzania wanoipigia kura ccm....acha waibe paka watoboe macho mi nshachika na huu u.km wa watanzania.
 
mkuu kwanzia hii scandal ya escrow naona umeacha ushabiki sasa unafikiria kama binadamu

Kwani kwenye kulipa bill za umeme, maji, nyumba, shule, chakula na matibabu kuna ushabiki? Afadhali hata wanajeshi wana military duty free shop.
 
poor my country! where are you going? and you leaders where are you taking us? God blesa Tanzania and we the citizens
 
Back
Top Bottom