Nel Nelson
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 154
- 43
Miss Tanzania mwaka 2013, Happiness Watimanywa amesema hakustahili kuwa mshindi wa taji hilo kwaka 2013, amesema hayo wakati akiongea na kituo cha Star TV na habari hiyo kurushwa jana katika kipindi cha Michezo na Burudani na amedai kwamba hata yeye alishangaa alipotangazwa mshindi manake hakuwa na vigezo kuwashinda warembo wengine na ndipo alipoistukia Kamati ya Mashindano hayo kuwa haitendi HAKI.
Binafsi bila kupepesea macho nauliza:
Binafsi bila kupepesea macho nauliza:
- Mosi: Je kama hakuwa na vigezo kama alivyokiri mwenyewe kwa nini alishiriki shindano hilo?
- Pili: Je anataka kutuambia kwamba Majaji wa shindano hilo ni VIMEO?
- Tatu: Je atukubaliana na mimi kwamba uwezo wake wa kufikiri na kutafakari mambo (IQ) ni chini ya wastani au ziro (0)
- Nne: Je au ndiyo yaleyale ya RUSHWA YA NGONO? Nawasilisha