Kashfa: Mradi wa nyumba 73 za ndugu Masamaki wa TRA

Mh.Rais tutakusaidia saana kwa mashart ya wewe kukubali HAPA KAZI TU!! kwa vitendo na wala siyo kwa kucheka.
 
Habari wadau wa JF,

Mmoja wa watumishi wa TRA aliyesimamishwa kazi Ndugu Masamaki Ana mradi Mkubwa Kama wa NSSF.Inakuwaje mtumishi wa umma anakuwa na fedha kiasi hiki?

Ndio maana tunasema makontena hayakupotea Bali yameenda kwenye matumbo ya watu.

Magufuli tunaomba uzichukue hizi nyumba wakae walimu au polisi na ziwe Mali ya serikali.Fedha nyingi zinapotea na kwenda kwenye matumbo ya watu wachache.

du, hiyo kufuru...ama kweli nchi hii imegeuzwa shamba la bibi. kusema kweli kikwete katuharibia sana nchi.
 
Wakuu hizo nyumba alizijenga wapi? .Manake anatisha. Je? Mh Sitta Mh Mwakyembe awakugundua UFISADI huo jamani

Zimejengwa Pugu.... kuna video kabisa inaonesha baadhi ya hizo nyumba pitia pitia facebook utaiona
 
Mbona hamkusema hayo wakati Mh Lowasa anapiga dili akiwa mtumishi wa umma mpaka ananunua nyumba Ulaya na kujilimbikizia mali nyingi mno hapa nchini?

Habari wadau wa JF,

Mmoja wa watumishi wa TRA aliyesimamishwa kazi Ndugu Masamaki Ana mradi Mkubwa Kama wa NSSF.Inakuwaje mtumishi wa umma anakuwa na fedha kiasi hiki?

Ndio maana tunasema makontena hayakupotea Bali yameenda kwenye matumbo ya watu.

Magufuli tunaomba uzichukue hizi nyumba wakae walimu au polisi na ziwe Mali ya serikali.Fedha nyingi zinapotea na kwenda kwenye matumbo ya watu wachache.
 
Wakuu hizo nyumba alizijenga wapi? .Manake anatisha. Je? Mh Sitta Mh Mwakyembe awakugundua UFISADI huo jamani

Hawa wote(Mwakyembe &Sitta ) ndiyo wale wale wa wanaowang'ong'a watz kwa kula na wahujumu uchumi....mhe.JPM hawa usiwape nafasi kwy serikali yk kbs.
 
KWAPICHA HIZO NAWAZA.SANA.SANA.NN.KINAENDELEA.NA.IGP N.HUUUHuYU AU MWINGINE...
Nadhani picha si evidence. Angalia nani hapo kajipanga kupigwa picha? Aliyejipanga ndiye mwenye interest na picha. Unaweza pigwa picha ukiongea na jambazi.
 
Mbona hamkusema hayo wakati Mh Lowasa anapiga dili akiwa mtumishi wa umma mpaka ananunua nyumba Ulaya na kujilimbikizia mali nyingi mno hapa nchini?

Acha ujinga mkuu, makomeo anashindwa nini kumfikisi kama huu uharo wako ni wa kweli?
 
KWAPICHA HIZO NAWAZA.SANA.SANA.NN.KINAENDELEA.NA.IGP N.HUUUHuYU AU MWINGINE...

Pipa lina raha yake hasa ukiwa kwenye business class au first class intercontinental flight, lazima ushike moyo.
 
Huyo masamaki na zile apartment alizonunuliwa upanga na mmiliki wa shopping centre zichunguzwe
 
Ninasoma kwenye groups kwmba container 54 ni za bakhresa icd GM katiwa rumande, je kuna ukweli?
 
Back
Top Bottom