Hata pato la taifa halifiki dola bilioni 60 na bajeti kubwa kabisa ya serikali ya Kikwete ilikuwa dola bilioni 10, sasa unawezaje kufanyika ufisadi wa dola bilioni 60, zaidi ya trilioni 130 za kibongo. Hao waliozifisidi wameenda kuzitumia wapi? Je walianza kufisidi baada Tu ya uhuru? It doesn't make any sense