Najaribu kufikiria lakini napata ugumu kdg, inavyoonyesha ni asilimia kubwa sana ya polisi wamefoji vyeti, nadhani wangewaacha wamalizie kazi na wastaafu, wanachotakiwa kufanya ni kuangalia secretarieti ya uajili iwe makini na wasirudie kufanya makosa km hayo vinginevyo itatuletea shida sana huku mitaani na kwenye familia za wahusika!