Natanguliza salaam kwa wana JF wote,
Kuna jambo limekuwa linanitatiza labda wenzangu mnaweza kunisaidia kupata ufafanuzi. Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu jumla ya pesa ambazo serikali imepanga kutumia kwenye bajeti yake mpya iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.
Je, bajeti ya serikali kwa mwaka 2010/11 ni sh 11.1 trillion/- au sh 11.6 trillion/-?
Kwenye hotuba yake ya bajeti, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, anatoa figure mbili tofauti -- yaani 11.1 trillion/- na 11.6 trillion/-. Tofauti ya figures hizi mbili ni 500 billion shillings! Pesa nyingi sana hii.
This is a very serious matter. Inakuwaje kuwe na mkanganyiko kwenye figure namna hiyo, tena kwa kiwango kikubwa namna hiyo? Bajeti ni swala very sensitive ambapo ikishapitishwa na Bunge, serikali hairuhusiwi kufanya matumizi nje ya hapo unless inapata kibali maalum cha Wabunge.
Sasa swali ninalojiuliza mimi ni kuwa Bunge imepitisha bajeti ya 11.1 trillion/- au 11.6 trillion/-?
Alipo wasilisha mwelekeo wa bajeti kwenye kamati ya fedha ya Bunge jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza kikao cha bajeti, Mkulo alisema matumizi ya serikali 2010/11 yatakuwa 11.1 trillion/-. Kwenye hotuba yake Bungeni akasema ni 11.1 trillion/- na 11.6 trillion/-.
Juzi, kwenye hotuba yake wakati wa kuchukua fomu ya kugombea Urais tena kupitia CCM, Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa bajeti imekuwa mpaka kufikia 11.1 trillion/- kwa mwaka 2010/11. Sasa ile bajeti ya 11.6 trilion/- iliyopitishwa na Bunge imekuaje?
Rais Kikwete amepotoshwa kuhusu bajeti halisi ya serikali mwaka 2010/11? Je, hiyo tofauti ya bajeti ya shilingi bilioni 500 imeenda wapi? Au ni pesa za wakubwa za uchaguzi hizo?
Naomba, majibu, maoni au maswali zaidi kwa wana JF wenzangu tafadhali.
Zaidi, napendekeza soma hii post
Kuna jambo limekuwa linanitatiza labda wenzangu mnaweza kunisaidia kupata ufafanuzi. Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu jumla ya pesa ambazo serikali imepanga kutumia kwenye bajeti yake mpya iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.
Je, bajeti ya serikali kwa mwaka 2010/11 ni sh 11.1 trillion/- au sh 11.6 trillion/-?
Kwenye hotuba yake ya bajeti, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, anatoa figure mbili tofauti -- yaani 11.1 trillion/- na 11.6 trillion/-. Tofauti ya figures hizi mbili ni 500 billion shillings! Pesa nyingi sana hii.
This is a very serious matter. Inakuwaje kuwe na mkanganyiko kwenye figure namna hiyo, tena kwa kiwango kikubwa namna hiyo? Bajeti ni swala very sensitive ambapo ikishapitishwa na Bunge, serikali hairuhusiwi kufanya matumizi nje ya hapo unless inapata kibali maalum cha Wabunge.
Sasa swali ninalojiuliza mimi ni kuwa Bunge imepitisha bajeti ya 11.1 trillion/- au 11.6 trillion/-?
Alipo wasilisha mwelekeo wa bajeti kwenye kamati ya fedha ya Bunge jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza kikao cha bajeti, Mkulo alisema matumizi ya serikali 2010/11 yatakuwa 11.1 trillion/-. Kwenye hotuba yake Bungeni akasema ni 11.1 trillion/- na 11.6 trillion/-.
Juzi, kwenye hotuba yake wakati wa kuchukua fomu ya kugombea Urais tena kupitia CCM, Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa bajeti imekuwa mpaka kufikia 11.1 trillion/- kwa mwaka 2010/11. Sasa ile bajeti ya 11.6 trilion/- iliyopitishwa na Bunge imekuaje?
Rais Kikwete amepotoshwa kuhusu bajeti halisi ya serikali mwaka 2010/11? Je, hiyo tofauti ya bajeti ya shilingi bilioni 500 imeenda wapi? Au ni pesa za wakubwa za uchaguzi hizo?
Naomba, majibu, maoni au maswali zaidi kwa wana JF wenzangu tafadhali.
Zaidi, napendekeza soma hii post