Subiri usome namba wewe pumbavuRais sikuelewi kamishna amefanya kosa gani? Utakuwa una mambo yako binafsi si bure
Mkuu nimekuelewa vizuri sana, lakini kwanini toka alipoingia madarakani mpaka sasa yeye kama kiongozi ameshindwa kutumia madaraka yake na kufanya maamuzi magumu ya kufukuza wale wazembe wala rushwa na kukata mirija yote inayoitia nchi hasara? Pia kuonyesha kwamba kweli yeye ni tofauti na waliomtangulia? Lakini kama kashindwa kufanya hayo na madudu ya huko tra yanajulika kwa muda mrefu sana basi anapaswa kutimuliwa.
Subiri usome namba wewe pumbavu
Ben kaja na uchaga we umekuja na udini! Huu mtandao wa Minywele lazima ufyonzwe ndio uliompa kiburi, Uislam sio kichaka cha ufisadi, ya wachaga namuachia ben!
Kilichopo, inawezekana ndugu Bade aliona ubadhirifu, pengine angeweza kumfukuza kazi mtu wa chini yake. Lakini issue inakuja uliyemfukuza kazi akishinda mahakamani unatakiwa umlipe fidia. Kwa ujumla kuchangia humu mitandaoni ni rahisi lakini maamuzi ya kumsimamisha au kumfuta kazi muajiriwa kufanywa kwa level ya Kamishna inatakiwa umakini wa hali ya juu. Mfukuzwa kazi akishinda kesi mahakamani ukimlipa itatajwa umeisababishia hasara serikali. Kwa wakuu kama Rais na Waziri Mkuu ni rahisi kutoa amri na ukasimamishwa mara moja. Kwa hilo la Bade kushindwa kumuwajibisha mtumishi wa chini yake siyo jepesi sana. Labda tuseme ni ule uzembe wa kutojua idadi kamili ya Makontena yaliyopotea nalo ni uzembe wake kwa sababu idadi aliyoitaja Mh Waziri Mkuu ni kubwa kuliko Takwimu za Bade
Kaonewa kisa siasa mungu wangu!
Rais wako si ushaambiwa ni jembe? Sasa unataka kujua mpini ni nini?
Uchaga = Wizi, sio kabila. Pole sana mangi
Kwa hiyo inajenga hoja kwamba mtuhumiwa wa uzembe na kutowajibika asifukuzwe kazi kwa kuogopa huenda ataenda mahakamani na kushinda kesi!!!!!
Hapana! This is extremely wrong! For those of us who know Bade- this is wrong starter. Magufuli needs the kind of Bade for his crusade. Bade is being victimised for wrongs that he might not be part to them. Huyu ni mchapakazi, msomi mstarabu asiye na papara, mtaratibu. Amechukua TRA juzi juzi tu baada ya kustaafu Kitilya. Bandarini ndiko Customs na Bosi wa Customs ni Kamishna wa Forodha angeanza na huyo, na akamtumia Bade kusafisha uozo wa TRA.
Kumteua anayemjua Bade kwa ujuzi na weledi wake wa kazi ni kujenga mazingira ya hofu tu na utendaji wa kazi katika hofu bila kujiamini utatuletea shida. Please Your Excellency take heed! Usifanye hasira, twende taratibu Rais wangu upige vita ya kushinda sio ya kuviziana haitaisha!