Wala isiongezwe, na kesho ikifika ni penalt.
Kodi ya majengo ipo siku zote na inajulikana, haikuanza mwaka jana wala mwaka huu, ni uzembe wa walipa kodi kusubiri hadi siku ya mwisho.
Mkuu, kwani viwanja visivyo na hati navyo vinalipiwa 2016/2017 GB au ni inayoanza mwaka mpya wa bajeti July?Bado watu wengi hawana elimu na hii Kodi maana wengi waliokuwa wanalipa ni viwanja vyenye hati Lakini sasa hata kama huna hati ni lazima ulipe
Hiyo statement ya kikomando kweli! Ukizingatia jina lenyewe super user(root)Siwezi panga foleni hivyo bora fine