johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Mnec Richard Kasesela amesema Chadema wameanza Mikutano yao ya hadhara na kila mahali Wanamsifia Rais Samia hivyo 2025 wasiweke mgombea Urais wa JMT kwa sababu Mama anaupiga mwingi
Kasesela alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Watu mbalimbali
Kasesela alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Watu mbalimbali