Kasema tuachane, baada ya kudaiwa Kodi ya nyumba anaomba turudiane

Mpwa.

Sijamsikia daktari karibia mwezi. Umemficha wapi au keshabwaga manyanga?

Nimesaka hata comments zake nimlime disilaiki lakini sijaziona.

Aliingia kichwa kichwa alikuwa anafikiri kumiliki pisi kali kama wewe ni lelemama? Aangalie tu asije akaangukiwa na makontena kule site aje ashindwe hata kutibu wagonjwa wake.....
😂😂😂Mpwa Dokta haonekani kabisa nilikwambia anakuogopa
sato Hirosh hebu njoo uniambue upoo kweli au umeangukia Kwa majimama km alivosema mpwa😂😂
 
Pamoja na kwamba ndio tafsiri yake lakini anakupenda coz mmepitia mengi nawe umekuwa ukimsupport katika mambo yake( Ushahidi ni wewe mwenyewe umekuwa ukitueleza kuhusu Mama J). Kama nawe unampenda katika hali hiyo fikiria tena mkuu coz imetokea nae mbali, habari za kubadirisha badirisha wanawake si nzuri.
Hata mi mwny sipendi kabisa,
Basi TU anapenda kunivuruga mno
 
Akasema "sawa Ila naomba tuchangie, nipambane nilipie 450, nawe unilipie 450. Mie Hali yangu ngumu Sana sahv, mshahara mdogo nilikopea na biashara dukan ngumu sana, Duka linashinda Bila kuuza kitu"

Nikamwambia
"hiyo haipo wee lipia mwnyw Kodi yote ya mwenye nyumba wako Kwanza, ukishalipa utanitafuta Tena ili tuendeleze haya mahusiano yetu"

Kiunyonge Sana akasema "sawa bhana,ntafanye Sasa Kama ndo ushaamua hivyo. Ila jua unanipa wakati mgumu Sana mpenz wangu."

Nikamwambia, "utajua mwnyw bhana" nikamkatia simu.


Sasa wakuu,
HAPA NAMSUBIRI AJILIPE KODI YAKE YA NYUMBA KISHA NDO TUENDELEZE MAHUSIANO YETU.

IKISHINDIKANA KUJILIPIA NDO BASI TENA,NTAHESABU TUSHAACHANA.

Mahusiano ya kudangiana kwa Kisingizio Cha NAKUPENDA SANA yameshapitwa na wakati.

Wanawake sometimes ebu muone haya Basi, Huyu mamaJ anajichetua sn mpk anakera Sana yaani

Nawasilisha wakuu
Raw nature of women.
 
Kwamba mishangazi haisumbui?
Hawana matata kabisa. Zile pigo zako za kutegesh cm dirishani kwa mama j ili urekodi mazungumzo yake,huku hazipo kabisa.

Hata ile kauli ya "Utakula kwanza ndio ule" imetokea kwao kaka 😅
 
Back
Top Bottom