Kasema tuachane, baada ya kudaiwa Kodi ya nyumba anaomba turudiane

Wakuu,

Mwezi uliopita tulikuwa na ugomvi mkubwa sana nikadhamiria kabisa kuachana naye moja kwa moja.

Baada ya kuomba msamaha sana, turudiane ikashindikana. Akameza vidonge lengo kujiua nisipokubali kumsamehe.

Nikamwambia, "Wewe jiue tu usinibabaishe, hutokuwa wa kwanza kujiua."

Muda mfupi nnapokea namba ngeni anajitambulisha ni Nesi na kunambia mamaj ameletwa zahanati flani. Yupo hoi kwa kunywa sumu. Nifike haraka tumnusuru. Nikasema, "Sawa, nakuja." Nikafika hospitali haraka nikakuta amelazwa na katundikwa dripu.

Alilala pale usiku mmoja. Kesho yake naenda kumchukua aliruhusiwa. Daktari ananambia nibebane dawa zake atameze nyumbani. Tumefika kwake, nafungua na kukuta amefungashiwa mseto na panadol tu. Nikabaki na mshangao.
Haha yuko nawe kimaslahi lakini anakupenda kimaslahi hivyo hivyo.😆
 
Ndo TAFSIRI yake hiyo mkuu
Pamoja na kwamba ndio tafsiri yake lakini anakupenda coz mmepitia mengi nawe umekuwa ukimsupport katika mambo yake( Ushahidi ni wewe mwenyewe umekuwa ukitueleza kuhusu Mama J). Kama nawe unampenda katika hali hiyo fikiria tena mkuu coz imetokea nae mbali, habari za kubadirisha badirisha wanawake si nzuri.
 
Nyie tena
Mpwa.

Sijamsikia daktari karibia mwezi. Umemficha wapi au keshabwaga manyanga?

Nimesaka hata comments zake nimlime disilaiki lakini sijaziona.

Aliingia kichwa kichwa alikuwa anafikiri kumiliki pisi kali kama wewe ni lelemama? Aangalie tu asije akaangukiwa na makontena kule site aje ashindwe hata kutibu wagonjwa wake.....
 
Back
Top Bottom