NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Mbali na Rais Karume kushindwa kuhudhuria sherehe hizo zilizotawaliwa na mvua kubwa jijini Dar es Salaam, marais wastaafu, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Dk. Salmin Amour wa Zanzibar, pia hawakuhudhuria sherehe hizo na hakuna sababu zilizotolewa juu ya kutokuwapo kwao uwanjani hapo. Mbali na marais wastaafu hao kushindwa kuhudhuria, mawaziri wakuu wastaafu wa Jamhuri ya Muungano, Mzee Rashid Kawawa, John Malecela, Joseph Warioba, Fredrick Sumaye na Edward Lowassa, nao hawakuwapo.
Hata Edo hakuhudhuria Salva yupo likizo bado?
Hata Edo hakuhudhuria Salva yupo likizo bado?