Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
Sikiri mimi masikini, uvivu wangu nyumbani
Ukiwa huu njiani, nakufa hapa kwa nini?
Sadiki sasa ashiba, chakula kingi kwa baba
..............................................................malizieni mnaojua
Mambo yalikuwa mazuri enzi hizo chini ya nidhamu ya ujamaa na kujitegemea wa Mwl na timu yake!!