Karma ya Usaliti yairudia chadema!

Karma ya Usaliti yairudia chadema!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Usaliti alioufanya Tundu Lisu dhidi nchi yangu kwa maslahi yake binafsi na wachahe wa chadema yamerudi na kuimaliza chadema, sasa kwa mara ya kwanza ktk Historia ya chadema watu wanahama kwa spidi ya super sonic, hali imekuwa mbaya kiasi kwamba hata Wabunge wakuchaguliwa pia wanaondoka, hii siyo kawaida, hakuna namna nyingine ya kulielezea hili isipokuwa laana ya Usaliti aliyoianzisha Tundu Lisu, na bado, hilo lichama atabakia Tundu Lisu na Mbowe tu, karma is a bitch, ...
 
Hiv huu uzi wako asipocomment mwingine zaidi yangu utawaza nini?
 
Usaliti alioufanya Tundu Lisu dhidi nchi yangu kwa maslahi yake binafsi na wachahe wa chadema yamerudi na kuimaliza chadema, sasa kwa mara ya kwanza ktk Historia ya chadema watu wanahama kwa spidi ya super sonic, hali imekuwa mbaya kiasi kwamba hata Wabunge wakuchaguliwa pia wanaondoka, hii siyo kawaida, hakuna namna nyingine ya kulielezea hili isipokuwa laana ya Usaliti aliyoianzisha Tundu Lisu, na bado, hilo lichama atabakia Tundu Lisu na Mbowe tu, karma is a bitch, ...
Katika WIMBI hili la kuondoka kwa wanachama wakiwemo waheshimiwa madiwani na wabunge pia viongozi wengine waandamizi ... ni jambo la busara endapo vikao vya juu vya uongozi wa CDM vingekaa na kutafakari ni wapi JAHAZI lilipoenda MLAMA na pakarekebishwa pale inapowezekana badala ya kulalamika tu kuwa WANANUNULIWA .... ninawaza tu kwa sauti
 
Back
Top Bottom