Karibuni tutapata albam.

Karibuni tutapata albam.

msabato masalia

Senior Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
118
Reaction score
20
Sijui ni singo gani inafuata, maana bendi yetu CCM,hawachuji, hizi ni baadhi ya singo za hivi karibuni,kadi 2 za Dr Slaa,mwangosi(RIP), nani achinje,gesi ya ntwara,matokeo ya form 4,kibanda(pole sana), gaidi Lwakatare. Sijui ijayo ni ipi?
 
Back
Top Bottom