Karibuni tupeane kali za viongozi wetu

Karibuni tupeane kali za viongozi wetu

Jof3

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
663
Reaction score
323
Habari wana JF, leo nimeona tukumbushie kauli mbali mbali za viongozi wetu, kwan kwa kauli hizo itatusaidia kujua tabia, uzalendo na vituko vyao. Mimi naanza na chache zingine mtachangia

1. Kadri unavyopanua ndio jinsi watu wanavyotamani- Profesa Anna Tibaijuka.
- alikuwa akimaanisha kupanua miradi ya maendeleo, wabunge wakabadili maana vichwani mwao na kucheka.

2. Hizo hera (akimaanisha Hela ) kama alizipokea kupitia mkononi basi zitatokea mahali popote ambapo pako wazi - JPM
- Hapo alinivuruga nilipowaza maeneo ya binadam ambayo yako wazi

3. Watakaohama ccm wahame mimi ntakuwa wa mwisho - E. LOWASSA.
- Sasa hivi yupo zake Chadema hana haraka na maisha.

4. Bora wananchi wale nyasi lakini ndege ya Raisi lazma inunuliwe-
Malizia zingine zipo nyingi mnazo
KARIBUNI

Sent from shimoni
 
'Katandike hilo litambala lako katika Kitanda cha Mke wako'....hata hivyo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimesahau totally ni Kiongozi gani alipayuka hivyo.
 
Hizi billion ni hela za mboga tu
-kiukwel mama alinivuruga mpaka nikaanza kuchukia chama changu kutunza watu kama hawa
.
.
.
kyenekyaka nkighanile une

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asiyeweza kulipa sh. 200 basi aogelee....maneno haya waliambiwa wanakigamboni nauli ya kivuko kilipopanda bei msemaji ni mpendwa wetu.
 
"Nasikia Kuna kiongozi anawazuia watu wasichote maji kwenye kisima, dawa yake ni kumkamata na kumdumbukiza kisimani akitoka humo hatorudia" - JPM Zanzibar!
 
'Katandike hilo litambala lako katika Kitanda cha Mke wako'....hata hivyo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimesahau totally ni Kiongozi gani alipayuka hivyo.
Hahha Dada Jane Nimekumiss MTU wangu wa nguvu! ..povu loading......
 
Back
Top Bottom