Karibuni tuichambue simu ya Oppo f3 Plus

Karibuni tuichambue simu ya Oppo f3 Plus

Sasa Kwa sasa simu gani ni nzuri inayoendana na hizo specifications na bei rafiki
ni hio xiaomi nilioitaja ambayo nayo ni ngumu kuipata na samsung pia wameitumia kwenye galaxy A9 pro ila nafkiri bei kama sio rafiki

kutoa hizo sifikirii simu nyengine inayolingana specs uta downgrade tu
 
ni hio xiaomi nilioitaja ambayo nayo ni ngumu kuipata na samsung pia wameitumia kwenye galaxy A9 pro ila nafkiri bei kama sio rafiki

kutoa hizo sifikirii simu nyengine inayolingana specs uta downgrade tu
Shukrani sana mkuu.xiaomi haijafika bongo?
 
Mimi nimenunua Oppo 37fw mkuu kwa mtu baada ya vyuma vyake kuleta shida nimebahatika kununua kwa laki tu ila ni hatari hizo simu camera ni balaa sio ya nchi hii. Kuna mdau mpya katokea kuipenda sana tatizo sijajua nimeelekeze akaichukulie sehem gani kama unafaham kwa hapa bongo nielekeze mtoa post ili huyu mtu akaipate hiyo cim..
 
Back
Top Bottom