Karibuni Songea

Wee jamaa umenikumbusha mbali sana. Nimeiona mitaa ya home umeitaja hapo furahastoo hahaaa. Kanisa la biblia pale tulikuwa tunaiba sana faraj faraj enzi zetu. Na kule kwa masista misheni ya st alois iba sana ndizi.

Disko paradise kwa ngongi, mbicu au kahawa club kiwandani na ruvuma inn. Hahaaa. Sasa hivi naskia imebadilika sana sijaenda like 20yrs asee.
 
Hiv kile koghorofa chake Bado kipo

Watu wangu wa miaka hyo sjui Bado wapo MAJOBA (Nasikia rip) KEI LUPOGO HAZARA MZEE BABA TINKLA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
 
Hahahaha, that's very important!

Mbinga is developing very quickly. I've been away for almost five years and things have changed a lot.

NB. Nipo 24 plus!
 
Ma
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
Majoba alifariki... Si unamuongelea Majoba mtoto wa Rosta na mdogo wake Kandi kama sikosei
 
Ni sahihi kweli mkuu
 
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
Kabisa mkuu Nina miaka 20 Sasa sijaenda songea ubize wa Kaz lakn Ni eneo zur Sana mm nilipita advance pale kigonsera na hao nilio wataja walikuwa o level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…