Cymon Taylor
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,754
- 3,427
- Thread starter
-
- #481
"ana mzigo wa Dunia" mwisho wa kunukuuKwanza ana mswambwanda mwingi sana na ni mcheshi sana kwahiyo madereva huwa wanahisi ni mwepesi kama mama lishe wengine. Unaishia kula kuku mzima na keep chenji nyingi mwisho wa siku humpati
Naomba usikilizweNikiwa songea napenda sana kula UBENDE, huku niliko hawajui hata ni kitu gani hiko.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Fanya ukatembelee mkuuNimepamisi maposeni ..peramiho
Apu wenga pitaa pa matomondo hapa nikuviki lidelele na chimbondi upilikii?Ukoto kutuliga Bambu wenga, tihumi ku nyoko yeniyo, heshima Sana penapo, nivili hapa pa Magagura nikulindila na ulanzi lidebe limonga na mdalaView attachment 2660441
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Mnoooo urustii una nafasi yakee,Umenikumbusha mbali sana coca, mweeeeh urusti jamani mtamu
Nikiwa songea napenda sana kula UBENDE, huku niliko hawajui hata ni kitu gani hiko.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Boss likuyu fusi bado ipo??Duh wakunyumba achana na watu wa songeanakwambia kwetu wamenyolewa kipindi hicho na kalembwani piga mapala yakutosha lkn wapindio kwanza wamechochewa yan ni shida kweli kweli
Hawasomi? Au mwisho darasa la 7?Totoz zipo mkuu tena cha kushangaza wanazaa wakiwa bado wadogo age ya kuanzia 15
Ndio nini?Nikiwa songea napenda sana kula UBENDE, huku niliko hawajui hata ni kitu gani hiko.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ni kweli hakuna Mwanamke wa huko mwenye zaidi ya futi 3 urefu?
Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.
Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.
Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe
Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)
Karibuni Songea
Jokate ana futi ngapi? Basi ndio wapo hivyo mkuuNi kweli hakuna Mwanamke wa huko mwenye zaidi ya futi 3 urefu?
Chanta buri ndo imependeza hivyoo?? Pako poaa sanaaa.Bado nipo Song City. Hapa natoka Chanta Buri kupata supu kidogo. cocastic ulisema mwezi huu unakuja vp?View attachment 2678235
Yah imenoga sana kama unavyoiona. Ukifika nistueChanta buri ndo imependeza hivyoo?? Pako poaa sanaaa.
Mie nakuja week ijayoo, yaan nikifika tyuuh, siku ya pili jioni naibukia hapo chanta buriii wallah.
Mpwa kumbe wa songea, karibu na kwetu dodoma jmnChanta buri ndo imependeza hivyoo?? Pako poaa sanaaa.
Mie nakuja week ijayoo, yaan nikifika tyuuh, siku ya pili jioni naibukia hapo chanta buriii wallah.
Damu iliyochemshwa mara nyingi inakuwa ni ya nguruwe inachanganywa na vitu vya ndani kama mapafu, maini au mafuta.Ndio nini?
LipalambaUmepasahau Matili
Upo sahihi mkuu. Bado nipo huku na watoto wa kingoni "multiple lovers"Kwa yoyote aliyepita songea Ata kumbuka mambo mazuri haşa totoz za songea zinajua sana zinaweza kukusahaulisha kurudi kwenu