Karibuni moshi aisee

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Hii ndio moshi yenyewe,...
395727_228185803937817_100002391974447_472791_218577587_n.jpg
 
Hah ha haaa. Safi sana Speaker, You have made my Morning. Lets make more money Mangi.
 
165775_139520726109564_100001549126150_232741_2054822_n.jpg

Yapo full,uwezo wako tu wa kula........
Usisahau kukaa karibu na cho** lakini maana kazi yake duh
duh hivyo lilivyo ukapaka kwenye mkate unaweza kumaliza mkate mzima bila kujijua, jamani unanitamanisha ghilo parachichi kha mpka mate yamenijaa.
 
duh hivyo lilivyo ukapaka kwenye mkate unaweza kumaliza mkate mzima bila kujijua, jamani unanitamanisha ghilo parachichi kha mpka mate yamenijaa.

Ni moja kati ya matunda napenda sana yani.
Tengenezea juice ukichanganya na maembe..............uta jiramba
 
Ni moja kati ya matunda napenda sana yani.
Tengenezea juice ukichanganya na maembe..............uta jiramba
bila kusahau uchanganye na passion jamani acha tu utakula kama kiwavi jeshi. hivi msimu ndo umeanza eeh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom