hilo kwangu si tatizo mana ninavyoyapenda.Yapo full,uwezo wako tu wa kula........
Usisahau kukaa karibu na cho** lakini maana kazi yake duh
duh hivyo lilivyo ukapaka kwenye mkate unaweza kumaliza mkate mzima bila kujijua, jamani unanitamanisha ghilo parachichi kha mpka mate yamenijaa.
Yapo full,uwezo wako tu wa kula........
Usisahau kukaa karibu na cho** lakini maana kazi yake duh
kama yapi? mie najua parachichi ni kwa kuliwa tu.Maparachichi yapo ila sio unatumia kwa matumizi yasiyofaa chalii wangu
duh hivyo lilivyo ukapaka kwenye mkate unaweza kumaliza mkate mzima bila kujijua, jamani unanitamanisha ghilo parachichi kha mpka mate yamenijaa.
bila kusahau uchanganye na passion jamani acha tu utakula kama kiwavi jeshi. hivi msimu ndo umeanza eeh.Ni moja kati ya matunda napenda sana yani.
Tengenezea juice ukichanganya na maembe..............uta jiramba