Karibuni Kwetu

ninavyoogopa maji siwezi kuja huko kabisa
 
na hivi hata kuogelea nehi............. ndio unanitosa kiaina w.end
 
miaka 900 hunipandishi kwenye hivyo vimianzi kaa...

#hatari sana kuangalia je kupanda
 
Hawa wadudu nyama yao tamu sana.

Nasikia hivyo. Ila bado sijabahatika kula nyama yao.
Kule Bagamoyo kuna jamaa wanafuga mamba kibiashara !!
Nasikia kilo moja ya nyama ya mamba ni Tsh. 150,000 !!!!!
 
Nasikia hivyo. Ila bado sijabahatika kula nyama yao.
Kule Bagamoyo kuna jamaa wanafuga mamba kibiashara !!
Nasikia kilo moja ya nyama ya mamba ni Tsh. 150,000 !!!!!
Nimefika mara nyingi sana kwa yule jamaa. Kimsingi ufugaji wa mamba ndio 'means of livelihood' ya yule jamaa. na kama ulivyoona anao wengi sana.
 
Huko wanaishi wachawi tu kama yule jamaa wa "hatasalia hata panya home kwake"
 
Nimefika mara nyingi sana kwa yule jamaa. Kimsingi ufugaji wa mamba ndio 'means of livelihood' ya yule jamaa. na kama ulivyoona anao wengi sana.

Mamba wa Bagamoyo crocodile farm.

 
Huko ndo ambapo ukija mgeni unapewa kuku mzima!??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…