KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Maeneo ya stend ya Passias - Mwanza kuna jambazi mstaafu aliyeokoka anatoa ushuhuda jinsi alivyovamia mabenki na kuua.
Anadai hakuna ujambazi wowote wa bank unaotokea bila polisi na mkuu wao kushirikishwa.
Anadai hakuna ujambazi wowote wa bank unaotokea bila polisi na mkuu wao kushirikishwa.