ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Kuhonga inaweza isiwe shida km umepata mwanamke anayejielewa na bila kupangiwa masharti...mimi ugomvi wangu mkubwa ni mwanamke anayenipangia nimpe hela kwa ratiba au nisipompa ananuna...yan hapo ndo hapati kitu km hataki aende tu kutongoza mi ni master