Karibuni jamani mabingwa wa kuhonga

Karibuni jamani mabingwa wa kuhonga

Sio mjue kuhonga tu, pia kitandan mjitahid sio kwakua umenihonga basi unajua ndo ushamaliza kila kitu, performance muhim pia sio kitandan unageukageuka tu ka chatu anavua ngozi, bt kumbuken pesa ndo muhim zaid hapo, performance ni kachumbar tu.
Hahaaa mbona hueleweki mkuu, pesa ndiomuhimu au kitanda.
 
Ukimhonga inatakiwa kusokomeza hadi atamani kuirudisha sio kimoja then hoi
 
Sio mjue kuhonga tu, pia kitandan mjitahid sio kwakua umenihonga basi unajua ndo ushamaliza kila kitu, performance muhim pia sio kitandan unageukageuka tu ka chatu anavua ngozi, bt kumbuken pesa ndo muhim zaid hapo, performance ni kachumbar tu.
sasa ndio umeandika nini unajitekenya mwenyewe na kucheka.hahahah
 
Inauma sana...nimekutana na DEMU siku nne kabla ya Mwezi Mtukufu kuanza..Siku mbili kabla Demu kanipiga mzinga KIDUME nikajitutumua nikampa KIASI alichohitaji na ziada juu.

Suku moja kabla ya kuanza MFUNGO nikamwambia "naona kwa sasa hakuna kitakacho fanyika...nashauri swala la PA**CHI itakuwa ni baada ya MFUNGO...

Tulikubaliana vizuri....ajabu mwenzangu uvumilivu umemshinda, nilisikia (na sasa nimeshuhudia) rafiki yangu wa karibu anajilia mzigo ndani ya MFUNGO...

Nimechoka kwa kweli..
ha ha ha ha
 
Kiukweli mwanamke asipokuwa mchoyo kwangu na akatulia.
Atakula vyangu.
 
Back
Top Bottom