SIRE
Senior Member
- Feb 20, 2022
- 129
- 231
Huyo ana akili mbovu sana na anawakilisha asimilia kubwa ya watanzania kwa kuwa akili zao ziko hivyo. Akili za kitumwa kabisa, wakiona watu weupe wanawaona miungu. Utumwa unaanzia kwenye fikra. Kama huyu jamaa anajiona ni mtumwa basi ni mtumwa kweli. Sijui Africa tuna laana gani.Yaani wewe unawaza maghorofa ambayo siyo yako, unaacha kupigania revenue sharing ambayo itakusaidia kama mwananchi!
Tuna watu wa ajabu sana nchi hii.