Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
Kwa wale wapenda story usisite kupita hapa. Tuje tupeane mawili matatu na kubadilishana mawazo, kupunguza msongo wa mawazo.
Tuko mubashara!
Tuko mubashara!
Bora hata ulivyowahi siti mkuu maana wakija watu utakunywa kahawa huku umesimama utapiteza radhangoja nichukue seat ya mbele, tayar kwa story mubashara kabsaa…!!
Hahaha mpya nilipigwa ban mie ,mpaka roho yaumaBinamuu nmekujaa,kuna mpya gani hapa
Haikosekani mkuu ,maana hili ni Barza ,lazima iwepoHivi Tangawizi ipo pia ?????
Bora wenye cha 24 mie nilipigwa cha Siku tatu lolTulipigwa wote ban,kifungo cha 24 hrs
Arabian huo ubinamu wenu na nyoka mzee ni wahalali kweli!!!!????Binamuu nmekujaa,kuna mpya gani hapa
Yule kashaposwa saiv ,kama ulikuwa wamfatilia ishakula kwako mkuu wenye kisu kikali ndio wanaokula nyamaEnheee, niambieni hapa mtaani nani anampiga miti nani? Hivi yule binti wa Mze nani, anapatikana kivipi?
Naona siku hizi kila kona watu wanalia na banHahaha mpya nilipigwa ban mie ,mpaka roho yauma
hahaha Binamu leo waniruka wakat ww ndo sababu ya kupigwa ban kwa kunipigisha stor kwenye uzi wa watuHmm utakua makosa yanatofautiana,lako lilikua liko high in quality
Hahaha jirani mashkhof ,hahaha sie mabinamu kweli acha wivu jirani ,hatekwi mtu kama ww upoArabian huo ubinamu wenu na nyoka mzee ni wahalali kweli!!!!????
Usije ukamteka jitani yangu bhanaa bila taarifa
[HASHTAG]#Nyoka[/HASHTAG] mzee#
Hahahaha ,kanunua gari kalipwa mafao yake ,alikuwa anaidai serikali,Huyo mama mwenye veti feki walimsingizia tu vyeti vyake original kabisa ,kwahiyo karudishwa jobHivi huyu naye kanunua gari amepata wapi hela? halafu si nilisikia yule mama wa nyumba ya tatu alikuwa na vyeti feki mbona nimemuona asubuhi asubuhi anapanda gari kavaa kama anaenda kazini? pia nilisahau yule kijana wa kwa mzee Juma hivi siku hizi anamchukua Bi Chaurembo?
Wallahi Yanga hawawezi kuchukua kombe, iwe isiwe Simba watachukua si unaijua kamati ya ufundi ya Simba.
Yule kashaposwa saiv ,kama ulikuwa wamfatilia ishakula kwako mkuu wenye kisu kikali ndio wanaokula nyama
Athante jirani ,na ndomana nimejichimbia hapa ili nisipigwe ban maana mdomo huwa unawasha mie siwezi nikakaa kimya bila stor wasije wakabipiga tenaKwanza pole kwa ban Jirani yanguuu