Karibu yote waliokuwa wanasema Chadema sasa Watanzania wanathibitisha
1. Kwamba CCM hawawezi kushindana
2. Kwamba kura zinaibiwa
3. Watu wa Mama ndiyo watekaji
4. Nchi imeuzwa kwa wana mtandao
5. CCM ni chama cha kifamilia
Kama hukubaliani na hayo elewa kwamba wewe ni kilaza. Bila reform chaguzi hazina maana vikundi vya jamii sasa vinaelewa, viongozi wa zamani wa CCM wanaelewa, na watanzania wanaelewa
1. Kwamba CCM hawawezi kushindana
2. Kwamba kura zinaibiwa
3. Watu wa Mama ndiyo watekaji
4. Nchi imeuzwa kwa wana mtandao
5. CCM ni chama cha kifamilia
Kama hukubaliani na hayo elewa kwamba wewe ni kilaza. Bila reform chaguzi hazina maana vikundi vya jamii sasa vinaelewa, viongozi wa zamani wa CCM wanaelewa, na watanzania wanaelewa