yah yuko sahihi watu wamepiga sana hela na kuchezea pia helaHapa umetupiga kamba mkuu,hakuna mtu anayetafuta pesa ya halali kwa jasho lake kisha aende kuzigawa hovyohovyo kwenye bendi.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
aina gan??Nauza gari
Ukilenga magari ya Zambia vipi process ya kuipitisha mpakani hadi ifike Bongo ikoje?na kuisajili haina mlolongo mrefu?Biashara yoyote mtaji ni nguvu yako tahadhari kubwa uielewe biashara yenyewe na uipende lakini uifanye kwa uaminifu na ukikua kimtaji unaweza kwenda kulenga gari bei chee hadi zambia, malawi maana huko hua wanajiuzia magari bei chee tu, kikubwa tahadhari na umakini mkubwa unaelenga ist hauwezi kulingana na anaelenga greda au skaveta,
Usibishe ndugu hayo mambo yapo sana mimi binafsi ni shuhuda wa hayoHapa umetupiga kamba mkuu,hakuna mtu anayetafuta pesa ya halali kwa jasho lake kisha aende kuzigawa hovyohovyo kwenye bendi.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Karibu zipoMm nataka niwe nalenga magari ya mnada ya serikali. Una hio mifumo?