jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,136
- 8,658
- Thread starter
- #41
uko sawaHapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana