Karibu uwekeze kwenye biashara ya magari used

Hapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana
uko sawa
 
Kwahiyo mtaji unatakiwa uwe nao kuanzia kiasi gani??
nimeandika hapo 8m japo hadi chini ya hpo unaweza kuanza lakini kwa kuanzia na 8m au 10m unapata gar ambyo haina chngamoto na zile gari pendwa kama ist,runex,spacio nk
 
zamani ilikuwa inalipa ila kwa sasa labda kama unataka hela ya mafuta na service na kula tu,sababu ukipiga kazi sana inakubidi kila week upige service ndogo na mwisho wa mwezi service kubwa hivyo unachobaki nacho kinakuwa kiduchu sana unaichosha gari.

Japo wale walioanza zamani wanakuwa na wateja wao parmanent mfano kupeleka watoto shule na kuwarudisha au wafanyakaz flani so akiunga na uber anaambulia otherwise ni kazi pasua kichwa na ukifanya kufa kupona ndivyo unavyoua gari
Bajaj na ubber ya gari kipi kinalipa
 
naomb niulize swal unawezaje kukabilianatna changamoto ya gari za uwizi
swali zuri kabla ya kununua gari ni lazma tujiridhishe na documents za gari kama ni halali na pia lazma tujiridhishe kuwa kilichomo kwenye documents ndicho kilicho kwenye gari kuanzia chases,body type engine nk.

so kwa hilo uzoefu upo
 
Bajaj na ubber ya gari kipi kinalipa
bora gari kidogo japo bajaj ukiwa una park eneo zuri pia unapata pata maana kwa bajaji kuna competition na boda hvyo mtu anaamua achkue tu gar sabab bei ya gar na bajaj hazija achana
 
Hivi kununua gari IST zambia au Malawi ni bei gani na kuvusha mpaka Tanzania inafika sh. Ngapi ? Kwa wenye uzoefu
 
Hapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana
Hapa umetupiga kamba mkuu,hakuna mtu anayetafuta pesa ya halali kwa jasho lake kisha aende kuzigawa hovyohovyo kwenye bendi.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom