Knowledge ya magari na opportunities kila mtu anaziona, Hakuna dalali atakayekulengesha gari kwa bei rahisi, haipo hiyo.
Kwa kifupi, kwenye biashara ya kununua na kuuza magari kila kitu ni marudio, hakuna fursa, wanao survive ni wenye capital kubwa.
Kwanza hakikisha hujizamishi kwa dalali wewe cheza na wapambanaji ukague gari kwa mmiliki ukiielewa na ukapiga hesabu vizuri ukiona inakulipa wewe lipuka nayo tu