nyumbanzuribeinzuri
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 2,140
- 276
Kuanzia mjini kati mfn karuta,dampo,stand kuu,liberti,hadi pembezoni kk mfn Igoma,mkuyuni,pasiansi unasema tu wapi unataka!!!Hizo fremu zipo wapi?
Mjini kati fremu bei gani?Kuanzia mjini kati mfn karuta,dampo,stand kuu,liberti,hadi pembezoni kk mfn Igoma,mkuyuni,pasiansi unasema tu wapi unataka!!!
1.2mil na kuendelea kkMjini kati fremu bei gani?
Dampo,karuta,mzambarauni,liberties,nkHizo fremu zipo wapi?
Ninazo nyumba zenye sifa kama hizo SITA lkn majirani zako watakuwa WAHINDI KK simu yako naona haipo what's up njoo mjini uzione au tafuta Namba IPO what's up nikutumie mapichapichaNataka Nyumba ya vyumba viwili,sebure, dyining room, iweMJINI KATI GOROFANI bajeti yangu isizidi mil 1 kwa miezi sita kuwepo na parking pia Namba yangu njoo inbox
Dampo,karuta,mzambarauni,liberties,nk
Sheikh nilikuwa masijidi nimekutumia PICHA ZAKE NAFIKILI UMEPATA SHEIKH WANGU KRBU SANANataka Frame kubwa liberti iwe barabarani kabisa bajeti (mil7-10) kwa mwaka Namba yangu inaishia
....03nimekupigia sijui upo mbali na simu sheikh
Kuanzia mjini kati mfn karuta,dampo,stand kuu,liberti,hadi pembezoni kk mfn Igoma,mkuyuni,pasiansi unasema tu wapi unataka!!!