PAN OCEANIC INSURANCE
Member
- Jan 7, 2019
- 8
- 4
Tutakua tunatoa elimu ya Bima kwenye ukurasa huu wetu.
Na kuanzia 23 January tuta anza na bima ya maisha.
Tupe maoni yako njia bora ya kuwasilisha elimu hii ya Bima.
Pia tutapokea na kujibu masuali yenu
Karibuni.
Nini Bima ya Maisha?
Watu wengi wanaona tabu kuongelea kifo lakini ukweli kifo ni jambo moja ambalo hatuwezi kulikwepa ni lazima. Siku na tarehe ya kifo hakuna anae jua lini kitamtokea. Hivo katika Maisha yetu haya tunapaswa kujitayarisha na kifo. Tunatakiwa tujiulize jee nikiondoka leo Watoto wangu mke wangu au mume wangu watakwenda wapi? Nani atawatunza ? nani atalipa deni langu? Nani atalipa ada za shule za Watoto?
Suhulisho la mawazo hayo ni Bima ya Maisha
Bima ya Maisha ni bima inayo chukuliwa na Mtu binafsi au kikundi kulinda kipato baada ya kifo na kwa ajili ya kuwekeza uzeeni wakati kifo kikitokea kwa ajili ya wanaokutegemea.
Sasa hivi Bima ya Maisha pia ina kinga dhidi ya ulemavu wa kudumu na ‘critical illness’
Bima ya maisha imekusudiwa kuchukua nafasi ya mapato ambayo yamepotea baada ya kifo cha mwenye Bima ambaye ndie Baba au Mama anaetunza familia yake.
Bima ya Maisha huchukuliwa kwa ajili ya:
• Gharama na mipango ya mazishi?
• Kulipia deni la Bank au vicoba kama kifo kitatokea kabla kumaliza deni. Hivo kuepusha kuuzwa kwa dhamana kama nyumba.
• Kuhakikisha Watoto wanao achwa na Mzazi wana endelea na Elimu yao bila ya matatizo ya fedha.
• Mapato baada kustaafu
Zipo aina nyingi za Bima ya Maisha kutegemea mahitaji ya Mteja , mfano
Bima ya Maisha
Bima ya Elimu
Bima ya gharama za Mazishi
Bima ya Maisha na uwekezaji
Bima Maisha ya Mkopo
Bima ya Maisha ni muhimili wa familia na Kwa kutumia maneno ya “Baba wa Bima Bangladesh” Khuda Buksh…
“ Bima ya Maisha ni silaha ya kisayansi ya kiuchumi,Ni chombo cha kuweka akiba na kuwekeza. Ni ngome dhidi ya Majanga yatakayo sababishwa na kifo, maradhi , uzee na ajali.
Ni mfumo mzuri wa kutegema wa fedha na mapato , Ni kivuli kizuri kwa wajane ,Milo mitatu kwa Watoto na uzeeni,Elimu kwa Watoto,Pensheni kwa wastaafu , ni hakikisho la chakula , mavazi , na mahali pa kuishi wakati wa matatizo”
Na kuanzia 23 January tuta anza na bima ya maisha.
Tupe maoni yako njia bora ya kuwasilisha elimu hii ya Bima.
Pia tutapokea na kujibu masuali yenu
Karibuni.
Nini Bima ya Maisha?
Watu wengi wanaona tabu kuongelea kifo lakini ukweli kifo ni jambo moja ambalo hatuwezi kulikwepa ni lazima. Siku na tarehe ya kifo hakuna anae jua lini kitamtokea. Hivo katika Maisha yetu haya tunapaswa kujitayarisha na kifo. Tunatakiwa tujiulize jee nikiondoka leo Watoto wangu mke wangu au mume wangu watakwenda wapi? Nani atawatunza ? nani atalipa deni langu? Nani atalipa ada za shule za Watoto?
Suhulisho la mawazo hayo ni Bima ya Maisha
Bima ya Maisha ni bima inayo chukuliwa na Mtu binafsi au kikundi kulinda kipato baada ya kifo na kwa ajili ya kuwekeza uzeeni wakati kifo kikitokea kwa ajili ya wanaokutegemea.
Sasa hivi Bima ya Maisha pia ina kinga dhidi ya ulemavu wa kudumu na ‘critical illness’
Bima ya maisha imekusudiwa kuchukua nafasi ya mapato ambayo yamepotea baada ya kifo cha mwenye Bima ambaye ndie Baba au Mama anaetunza familia yake.
Bima ya Maisha huchukuliwa kwa ajili ya:
• Gharama na mipango ya mazishi?
• Kulipia deni la Bank au vicoba kama kifo kitatokea kabla kumaliza deni. Hivo kuepusha kuuzwa kwa dhamana kama nyumba.
• Kuhakikisha Watoto wanao achwa na Mzazi wana endelea na Elimu yao bila ya matatizo ya fedha.
• Mapato baada kustaafu
Zipo aina nyingi za Bima ya Maisha kutegemea mahitaji ya Mteja , mfano
Bima ya Maisha
Bima ya Elimu
Bima ya gharama za Mazishi
Bima ya Maisha na uwekezaji
Bima Maisha ya Mkopo
Bima ya Maisha ni muhimili wa familia na Kwa kutumia maneno ya “Baba wa Bima Bangladesh” Khuda Buksh…
“ Bima ya Maisha ni silaha ya kisayansi ya kiuchumi,Ni chombo cha kuweka akiba na kuwekeza. Ni ngome dhidi ya Majanga yatakayo sababishwa na kifo, maradhi , uzee na ajali.
Ni mfumo mzuri wa kutegema wa fedha na mapato , Ni kivuli kizuri kwa wajane ,Milo mitatu kwa Watoto na uzeeni,Elimu kwa Watoto,Pensheni kwa wastaafu , ni hakikisho la chakula , mavazi , na mahali pa kuishi wakati wa matatizo”