Karibu ule kwa macho

sawabho

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
5,286
3,107
Habari zenu wana JF,

Huko kwetu nilikozaliwa na kukulia kwenye utamaduni mzuri, kitu kizuri unakula na nduguyo. Sasa nawakaribisheni japo mle kwa macho.

Je, hicho chakula ni kitamu ? Mbona unaangali tu bila kusema neno. Naomba maoni yako ili niweze kukiboresha.
 

Attachments

  • Karibuni chakula.JPG
    Karibuni chakula.JPG
    840.5 KB · Views: 296
Back
Top Bottom