Habari zenu wana JF,
Huko kwetu nilikozaliwa na kukulia kwenye utamaduni mzuri, kitu kizuri unakula na nduguyo. Sasa nawakaribisheni japo mle kwa macho.
Je, hicho chakula ni kitamu ? Mbona unaangali tu bila kusema neno. Naomba maoni yako ili niweze kukiboresha.
Huko kwetu nilikozaliwa na kukulia kwenye utamaduni mzuri, kitu kizuri unakula na nduguyo. Sasa nawakaribisheni japo mle kwa macho.
Je, hicho chakula ni kitamu ? Mbona unaangali tu bila kusema neno. Naomba maoni yako ili niweze kukiboresha.