fucult ndo nini Erick?Habari,Mimi ni Erick Livingstone,19,muhitimu wa kidato cha sita 2016 kwa mchepuo wa HGL,Naomba kuulizwa kwenu ni fucult gani ni nzuri kwangu hasa katika masuala mazima ya ajira, Ahsante.
Labda alitaka kuandika Degree Programme.fucult ndo nini Erick?
Anaemaliza form four then akaomba diploma kama ana vigezo hiyo ni ordinary,anaemaliza six akaomba diploma hiyo ni higher ambayo zaman ilikuwa advanced dip.Kama hujaelewa hapo sina namna tena.ila sjaona utofauti kati ya ordinary na higher coz vyote ni vinasomwa miaka miwili
...also ningependa unitajie ni vyuo vipi vinavyotoa hgher diploma
kozi ya sheriaAnaemaliza form four then akaomba diploma kama ana vigezo hiyo ni ordinary,anaemaliza six akaomba diploma hiyo ni higher ambayo zaman ilikuwa advanced dip.Kama hujaelewa hapo sina namna tena.
Vyuo vipo kibao lakini sijajua unataka vya course IPI?.
OK ngoja nifanye utafiti kwanza nilijua may be engineering maana ndio nafahamu vingi,baada ya mda kidogo ntakujuza.kozi ya sheria
Wew unapenda kusoma kozi ganiwe huna la kunishauri
nakuunga mkonoNyie hamjaielewa hii sirikali tu...lengo lao kubwa ni kuhakikisha idadi kubwa ya wanafunzi wanapata mkopo! Je, watapataje? Wakafyeka gpa na grade ili idadi iendane na bajet yao.
Acha kumtisha dogo, hukuwahi kufahamu kila kitu duniani na hutafahamu kila kitu. Kila ukifahamucho leo ulijifunza.Ushafeli kabla ya kuingia chuo
Good pointNyie hamjaielewa hii sirikali tu...lengo lao kubwa ni kuhakikisha idadi kubwa ya wanafunzi wanapata mkopo! Je, watapataje? Wakafyeka gpa na grade ili idadi iendane na bajet yao.
Ndo ivyo ndugu za kuambiwa changanya na zako....ukimaliza kutafakari hili tafakari na la ajira pia.nakuunga mkono
Naomba msaada pls ntazitambua vp program zenye ushindan na zilzokua hazina pls pls plsHata UD atapata tu program ya kusoma. Mbona wapo wengi wenye divisheni tatu zao pale UD....Ishu ni achague zile program zisizokuwa na ushindani mkubwa.
Ila angalizo: Mtaani siku hizi hawaangalii umesoma chuo gani...hivyo ajitahidi kusoma program inayoonyesha itakuwa na mahitaji kwa miaka mitatu au minne ijayo.
Hivyo kazi kwenu vijana....Sisi wengine tayari tumevuka huu mtihani.