Upo poa@cadey kwenye mapishiUnaweza ku ongezea na Organic tea ya mlonge ni nzuri
Hapa naona mdalasini,limao,tangawizi na kitunguu thaumu vilivyobakia sijaambulia kitu.
Umechelewa
And the bad thing wangu hanywi chai hata utilie kitu gani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naona mdalasini,limao,tangawizi na kitunguu thaumu vilivyobakia sijaambulia kitu.
Nalog off
Chai ya kitanga viungo muhimu sanaHabari zenu wapishi.
Naomba kufahamu jinsi ya kuandaa viungo vya chai ya rangi. Yaani niweke viungo pekee bila majani ya chai iwe tamu na kunukia vizuri.
Hakuna mtu asiyekunywa chair, watu wengi hawanywi chair kwa sababu ni taste less, chair yenye viungo vya ukweli mtu hawezi kuacha kunywa.Umechelewa
And the bad thing wangu hanywi chai hata utilie kitu gani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yangu naweka
Hiliki natwanga mwenyewe
Karafuu natwanga mwenyewe
Mdalasini natwanga mwenyewe
Pilipilimanga iliyosagwa
Tangawizi iliyosagwa
Mchaichai
Napenda sana huu mchanganyiko na vile nikiinywa inakuwa inawasha basi burudani.
Kama hupendi ukali unaweza kupunguza pilipilimanga na tangawizi au ukaweka kimojawapo au kuacha kabisa
Hapo kwenye mbegu za parachichi ndio nimekuelewa sana tu mi NDO chai yangu hiyo nachanganya na mdalasini.Ndi
Mkuu unapata chai nzuri yenyerangi ya dhahabu harufu ya kuvutia na kuifanya iwe tamu,
Ukipenda pia waweza tumia chai ya mbegu za parachichi
Hii mbegu ya parachichi haina ladha ya uchungu?Hapo kwenye mbegu za parachichi ndio nimekuelewa sana tu mi NDO chai yangu hiyo nachanganya na mdalasini.
Vipi umeweza kupika chai?Habari zenu wapishi.
Naomba kufahamu jinsi ya kuandaa viungo vya chai ya rangi. Yaani niweke viungo pekee bila majani ya chai iwe tamu na kunukia vizuri.