Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,897
- 7,525
Karibu Tanzania nchi ambayo Mchina anaingia nchini anafanya kazi bila vibali hata miaka 6 fresh tu
Wewe mngoni nenda kariakoo fungua hata Ki Mpesa na huna leseni Utakiona cha moto.
Inawezekana kweli mzee wangu marehemu JomoKenyatta aliona sisi ni maiti kweli?
Wewe mngoni nenda kariakoo fungua hata Ki Mpesa na huna leseni Utakiona cha moto.
Inawezekana kweli mzee wangu marehemu JomoKenyatta aliona sisi ni maiti kweli?