Karibu Sana Mh. Halima Mdee Ndani ya JF

Status
Not open for further replies.
Jamani uyo dada mi na mkubali sana, mbona mi simuoni kwa ilo jina nataka ni pm kwa private issu,
 
Hello Mh. Halima,
Tunakuona hapa chini.....



Karibu, andika neno..........!

Anzia hapa utupe ukweli wa hii taarifa:

........Katika makubaliano hayo Mbatia amefuta kesi ya uchaguzi dhidi ya Halima Mdee kesi namba 101 ya mwaka 2010..........]
 
Hakika sasa ninaanza kuboreka!

JFMarketer, inakuwaje huyu mtu bana?...mbona anachuingulia tu hataki kucomment?...au hujamfundisha hata kuweka salamu ya kwanza?...Umetumia nguvu sana kumfanyia Marketing, lakini i see everything going to vain!...huh!

Kwanini Halima Mdee haji kusema lolote kuhusiana na mambo kibao ndani ya chama, hasa zaidi kuhusiana na jimbo la Kawe?

Did we make a wrong choice?
 
Ila hapa iKumbukwe tunaongelea watu wawili tofauti,Rejia alikuwa free kwa kila mtu muwazi na mengineyo ,
Huyu Mdee sijui ..
 

anadengua. hahahaaa..!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…