Hakika sasa ninaanza kuboreka!
JFMarketer, inakuwaje huyu mtu bana?...mbona anachuingulia tu hataki kucomment?...au hujamfundisha hata kuweka salamu ya kwanza?...Umetumia nguvu sana kumfanyia Marketing, lakini i see everything going to vain!...huh!
Kwanini Halima Mdee haji kusema lolote kuhusiana na mambo kibao ndani ya chama, hasa zaidi kuhusiana na jimbo la Kawe?
Did we make a wrong choice?