deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Haha haha haaaHiyo mimi hainifai kabla hata haijafunguliwa.
Hebu nitajie services yoyote inayotolewa na serikali ya tanzania ambayo ni quality nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss hili limefanyika lini nataka nipite njia kwenda mtwara nianze ka utafiti kuanzia mkuranga, kibiti, rufiji, Kilwa na kuendelea...Tayari Bank ya Posta ina matawi wilaya zote Tanzania
huko nimecheki sijaona mkuuNenda BOT watakupa. Pia cheki kwwnye www.bot.go.tz
Bonge la plan. I like the ideaSerikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.
Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.
Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.
Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
Hivi mimi niko Tanzania au niko Ulaya? Tangu lini NBC ikawa Benki ya Serikali?NBC LTD ndio bank ya serikal na ningewaona wana akili kuienzi brand ya Twiga wa NBC ila kama anakimbia kivuli cha mkapa basi ipo siku Nyerere atafufuka. End
Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikautika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo. Vinginevyo kama ziko safi hazitaftutika na hakuna anayeweza kuzifuta!Hiyo Bank Itatumika Kuua Bank Binafsi Zoote. Zitapitishwa Sheria Kuibeba Bank Ya Serikali Hadi Tushangae, Transactions Zote Kwenda Nje Lazima Zipitie Bank Ya Serikali.
Private sector JPM haitaji ziwepo, vile tu anashindwa kusema zifutwe zote ila anazibana hadi zifutike zenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nenda tawi lolote la benki kuuhuko nimecheki sijaona mkuu
Unakosea hapo.Bussiness should be fair and free.Huwezi ukawa unaziwekea mizengwe kampuni nyingine ili usimamishe kampuni ya serikali.Kama kweli hizo za serikali zitakuwa Powerful zingeanza kama mchicha ila sio kusifisha zingine.Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikautika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo
Hahaha ukikataa utauchukulia hazina ukistaafu.Kama ambavyo tunalazimishwa watumishi wa umma kuwa line za TTCL ndivyo tutakavyolazimishwa kuwa na account kwenye hili Benki la kifisadi, na tunalazimishwa mishahara yetu ipite huko
Heeee kumbe mnalazimishwa kuwa na Ttcl?Kama ambavyo tunalazimishwa watumishi wa umma kuwa line za TTCL ndivyo tutakavyolazimishwa kuwa na account kwenye hili Benki la kifisadi, na tunalazimishwa mishahara yetu ipite huko
Andika ueleweke.
Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikautika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo
Post yangu uliyoinukuu nimei-edit na inasomeka kama ifuatavyo kwa sasa:Unakosea hapo.Bussiness should be fair and free.Huwezi ukawa unaziwekea mizengwe kampuni nyingine ili usimamishe kampuni ya serikali.Kama kweli hizo za serikali zitakuwa Powerful zingeanza kama mchicha ila sio kusifisha zingine.
Kama kweli ni kweli basi hapo serikali inakwama
Sent using Jamii Forums mobile app
NBC mwekezaji mkubwa ni Barclays kupitia ABSA. Hii Benki mpya itamilikiwa kwa na serikali
Barclays nayo ishakufa, anabaki na share ndogo ABSA. Barclays sasa inabadilishwa kuwa ABSA.
Uko sahihiPost yangu uliyoinukuu nimei-edit na inasomeka kama ifuatavyo kwa sasa:
"Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikafutika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo. Vinginevyo kama ziko safi hazitaftutika na hakuna anayeweza kuzifuta!"
Je bado nimekosea tu kulingana na mtizamo wako
o wako?
Inamaana hadi nbc nayo itabadilishwa jina amaMwezi ujao??....mbona tayari ni absa