TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 477
- 495
Jamani naombeni kanuni za sheria ya Huduma ndogo za fedha (MICROFINANCE ACT) za daraja la nne
NAHITAJI KANUNI SIO SHERIA
NAHITAJI KANUNI SIO SHERIA
Mchawi mpe mwana akuleleeHapo makato na usalama wa siri zetu tukiweka mamilion utakuwaje
Sio zote mkuu,mimi wilaya nilipo hakuna.Tayari Bank ya Posta ina matawi wilaya zote Tanzania
Wilaya gani?Sio zote mkuu,mimi wilaya nilipo hakuna.
Kuna NMB peke yake.
macson
Naomba nisiitaje jina mkuu ila ni Mkoa wa Manyara.Wilaya gani?
Nina uhakika 110% kuwa hiyo bank itauzwa na Rais ajae (ikitokea Rais huyo atakuwa na akili za kawaida).
Andika ueleweke.Ua hiki anzisha kile,nonsense!
Sifungui chochote humo
Private sekta ni kubwa 85% ya GDP yote,serikali mchumba tu kwa fedha
Hovyooo
Google itJamani naombeni kanuni za sheria ya Huduma ndogo za fedha (MICROFINANCE ACT) za daraja la nne
NAHITAJI KANUNI SIO SHERIA
Nchi inadororesha nguvu ya wafanyabiashara wakubwa ili serikali ifanye Biashara, huu ni upumbavuKiuhalisia Bank nyingi zinaenda kufa kifo kibaya maana malipo yote yatapitia benki za serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndio kitakuwa kifo rasmi Cha NMB & CRDB...Je mishahara ya wafanyakazi/watumishi wa serikali nayo itapitia katika benki hiyo ya Tanzania Commercial Bank ?
Nenda BOT watakupa. Pia cheki kwwnye www.bot.go.tzJamani naombeni kanuni za sheria ya Huduma ndogo za fedha (MICROFINANCE ACT) za daraja la nne
NAHITAJI KANUNI SIO SHERIA
Nzi wa kijani hawatokuelewa.Mimi siamini katika serikali kufanya biashara. Huwezi kukuza uchumi bila kuwa na private sectors.