Chuo cha Kaole kilichopo Bagamoyo
kimesajiliwa na NACTE kwa usajili
namba REG/ANE/030P, kama chuo
binafsi kilichopo Bagamoyo, Mkoani
Pwani Chuo kina dhamira ya kuwaandaa
wataalamu waliobobea katika sekta ya
kilimo watakaowahudumia wakulima
wadogo an wakati wanaohitajika
katika mapinduzi ya kilimo Tanzania
kama yalivyoelezwa katika dhana ya Kilimo Kwanza. Contact Us P.O. Box 99, Bagamoyo, Pwani,
Tanzania Tel: +255 754 306 598 +255 767 517 287
+255 754 307 867
+255 754 758 923 E-mail: info@kaolecollege.ac.tz kaole.agricollege@yahoo.co.uk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.