Mfua suleiman
Member
- Feb 27, 2014
- 60
- 62
Akatwe mkia haraka halafu aingizwe ziziniHongera sana swahiba wangu Fahami Matsawili kwa maamuzi ya Busara, Hekima na uzalendo wa hali ya juu kwa kujiunga na chama cha mapinduzi CCM mapema leo.
Hakika wewe ni mmoja kati ya vijana wachache wasomi ambao si watumwa wa kifikra pia mmejaaliwa uzalendo wa hali ya juu kwa taifa hili la Tanzania.
Karibu sana CCM tujenge nchi pamoja katika misingi ya Demokrasia ya kweli na Uhuru wa Mawazo.tView attachment 408952
katokea ACT Wasaliti.huyu mchumia tumbo ametokea chama gani?
kweli kabisa tuna mafisadi mengi ya Escrow na Lugumi.Mbona cdm kuna mazuzu wengi na kichaka mafisadi wengi