kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
Kwema? Watatu wa mwanzo waliniambia kuwa hawapendi wanaume walevi kwani ni wakorofi mno na wanapiga sana wanawake.
Hata nilipowaambia mimi situmii pombe wala bangi hawakuamini.
Hivi hii ikoje? Sura ya kilevi ipoje?
Mbaya zaidi na huyu wa nne naye alinikataa juu juu akisema hatoki na wanaume walevi, najiuliza sana ulevi wangu upo wapi? Mbona mimi ni mtu safi tu?
Yaani naambiwa nina sura ya kilevi. Sasa sielewi hiyo sura ya kilevi ipoje?
Hata nilipowaambia mimi situmii pombe wala bangi hawakuamini.
Hivi hii ikoje? Sura ya kilevi ipoje?
Mbaya zaidi na huyu wa nne naye alinikataa juu juu akisema hatoki na wanaume walevi, najiuliza sana ulevi wangu upo wapi? Mbona mimi ni mtu safi tu?
Yaani naambiwa nina sura ya kilevi. Sasa sielewi hiyo sura ya kilevi ipoje?