Na ikitokea dharura ya moto sijui utaokokaje hapo..JF kuna wapumbavu wengi kweli, mada serious watu wanachangia ujinga hadi kero
Dawa ya kudhibiti wezi kama hao ni kuweka zile chuma za dirishani zikiwa zimebanana tu ili asiweze kupitisha simu
Madirisha mengi yana ma grill yenye nafasi kubwa sana na mengine hayana kabisa,
Inabidi kubadili staili ya ujengaji wa nyumba kukabiliana na hatari hii
Wajanja mnaibiwaje kijinga hivyo? Sinza kw wajanja eeh.
Poleni.
Huku kwetu tukimjua mwizi, tunamkaushia mpaka weekend siku tunajua kila mtu yuko nyumbani. Tunaenda kamata chukua mpaka kwenye open space kisha tairi linamuhusu. Kila mtu aone.
Tun zero tolerance.
Kuna jamaa yangu alikuwa kampuni moja ya ulinzi, kila asubuhi akirudi anakuta jamaa wameiba hata suruari,
Akawa anaweka umeme 'live wire' kwenye nondo kwa ndani.
Tangu siku alipokuta yebo yebo dirishani hiyo tabia iliisha hapo.
Leo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!
sinza tatizo kumejaa mashoga shoga mengi mno
kwani madirisha ya sasa hivi yana dharura ya moto? madirisha yemewekewa grill ambazo zina nafasi kubwa ila mtu kupenya hawezi,Na ikitokea dharura ya moto sijui utaokokaje hapo..
wMshana Jr njoo huku
Hii ndio suluhisho sahihi. Tatizo watanzania bado tunaishi kizamani mtu unaibiwa kitu halafu bado eti unauliza "nifanye nini" hivi ni kweli kwmb hujui cha kufanya?Kiboko yao ni kuFunga system ya Intruder Alarm kutoka KK Security / Gardaworld, ukipuliza dawa System hailali, hii inafungwa nchi nzima na unaweza kuchagua system itume sms kwenye simu ya watu wako wakaribu kadhaa, pia kwa ulinzi kamili ni kuunganisha system hiyo na control Room yetu ili pindi king'ora kinapolia wanatuma gari yenye Askari wa KK/Gardaworld kwaajili yakuangalia usalama kwenye eneo lako, inafungwa maofisini,nyumbani na pia inaweza kuunganishwa kwenye electricic fence yako. Wasiliana nami kwa WhatsApp number 0743171049 au email victor.valence@garda.com Nchi nzima.
grill pana inawashawishi wezi wapate tamaa ya kuiba mpaka sofaMa-grill ya namna hiyo sikushauri hata kidogo uyaweke likitokea lakutokea hatoki hata mmoja wenu mtakauka humohumo!
Mfano moto umetokea (God forbid) milango huwa inatabia ya kujikaza na mara nyingi huwa inakimbilia mahala unakoweza kutokea ndipo utawaka sana ni kama huwa inatumwa huko kwenye Grill's ndo hutashika kabisa.
Ushauri wangu weka Grills pana kiasi likitokea jambo ukivunja kichuma kimoja basi nafasi pana inapatikana kwa wewe ama yeyote kutoka nje
dar es salaam bwana!!!Leo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!