Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,355
Watu siku hizi hawadanganyiki kariakoo wameonyesha mfano

Hapa kuna box mbili. Unatumbukiza ama kwa JPM au ENL

Kariakoo.png
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!
yale mafuriko ya masasi tandahimba mtama etc ni mbeya na arusha?
 
hawa si ndo aliowaahidi wataendelea kuwa wamachinga for the rest of their lives.
Tafiti zimeonesha kuwa Lowassa ANGALAU anapendwa mijini. Tatizo UKAWA hii mnafikiri Tanzania yooote ni Dar, Mbeya mjini na Arusha mjini, Tanzania kubwa sana! Na wapigaji kura wengi hawapo katika miji hii, oooo ooooh!

Unataka tukununulie TV? au Smartphone?
 
Ushindi wa Lowassa ni asilimia zaidi ya 70.

Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa
 
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.
 
Yaani ccm wamechacha bado wapo madarakani. Je watakapokuwa wapinzania siwatazikwa hai hawa
 
Watu wenye akilı na wanaojitambua,hawakai vijiweni kupayuka mambo ya siasa.Vijiwe vya watu wa Kariakoo na wengi madalali wa mazao toka mikoanı na misheni town pamoja na wadokozı ndo hao watakuwa wamehusika na hyo survey.Wengi wanaojitambua hauweza kuwakuta wanapayukapayuka na mambo hayawaingzıı kıpato.
wewe hujitambui ,hujui kwamba kariakoo ni mkusanyiko wa watu wanao kuja kufanya biashara na wateja mbalimbali
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

hahahaaaa hata kama mgonjwa bora akaugulie ikulu ...bora lowasa mara mia kuliko hao wauza madawa ya kulevya wazee wa escrow hahahaaaa
 
hahahaaaa hata kama mgonjwa bora akaugulie ikulu ...bora lowasa mara mia kuliko hao wauza madawa ya kulevya wazee wa escrow hahahaaaa

kama ataenda kuugulia ikulu sasa huo muda wa kufanya hayo maendeleo ataupata?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom