Kariakoo haina umeme leo Machi 10, 2022

Kariakoo haina umeme leo Machi 10, 2022

Hii mbona ishakua tabia Yao kila mara, tushalalamika tushachoka
 
Nimefika hapa Dubai ya Tanzania yani Kariakoo leo ni miungurumo ya jenerata kila sehemu

Sababu ni vita ya Russia na Ukraine?
Mitambo ya Tanzania ikifanyiwa matengenezo makubwa husababisha kukatika kwa umeme mara kwa mara. Ndiyo maana wakati wa JPM hakuifanyia matengenezo ili kuondoa hii adha .

Au Makamba alikuwa na maana gani!!
 
Kama hauna fursa ya kupiga hela ndio hii Sasa ngoja nikupe kidogo

Nunua tochi Anza kuuza na mabetri yake

Nunua chemli au karabai anza kuuza na mafuta yake

Jifanye mchungaji wa taifa uliombee hapa sadaka za kutosha sana

Dili zipo nyingi
 
Kariakoo ipi hiyo Mkuu? Ninapoishi sijawahi kutana na kero ya namna hiyo.
 
Si walisema mgao hautakuwepo tena baada ya zile siku 10 za matengenezo
 
Back
Top Bottom