Kariakoo haina umeme leo Machi 10, 2022

Kariakoo haina umeme leo Machi 10, 2022

Kiturilo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
706
Reaction score
2,859
Nimefika hapa Dubai ya Tanzania yani Kariakoo leo ni miungurumo ya jenerata kila sehemu

Sababu ni vita ya Russia na Ukraine?
 
Mliambiwa Watanzania hasa watumishi wa Umma ukiwaongoza kwa kudemka demka na kubembeleza utavuna mabua.
Pasipo kutumia Lugha ya kazi tu na wakati mwingine kutengua mtu anayeonekana kutofanyakazi zake kwa kasi inayotakia mtawasha sana Majenereta.
Wenzenu huko ili line fulani iwashiwe Umeme enzi hizo hadi mtoe 5M na ushee.
Jumuia ya Wafanyabiashara KKooo wakiamua kimjinimjini Umeme hauwezi kukatika Kariakooo ila kwakuwa ujuaji mwiiiingi ndio maaaana vijana wanawanyooosha.
Anyway tumesharudi kwenye mfumo wa kitu kidogo mpaka sahivi;

Kule TBS Ili gari ipasi ubora mpaka.....
Kule Bandarini ili mzigo utoke fasta mpaka.....
Kule TANESCO ili eneo lenu la Viwanda lisipate Mgao mpaka .....
Ili ufungiwe Umeme haraka mpaka ..
Ongezea idara nyingine zenye kitu kidogo
 
Back
Top Bottom