Mbona namba zinajulikana za tarehe au tufanye namba za mwezi yani nneWachague tuwapige ngapi hawa mbumbumbu
Tarehe 5 walipigwa 5
Tarehe 20 wapigwe ngapi?
Hasira zote za kuisapot Mamelod kwenye goli la dhuluma zitaamia kwao, tumeona muimba taarab wao Ahmed Aly kwenye clip anashangilia yanga kuondoshwa Sasa wameyakanyaga na wameyatimba wachezaji Wana hasira ya kufa mtu ngoja siku ifike watanena kwa lugha!Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeupangia tarehe mchezo namba 180 wa Ligi Kuu msimu wa 2023/2024 kati ya Club ya Yanga na Club ya Simba maarufu kama ‘Kariakoo Derby’, baada ya Club hizo kuondolewa kwenye michuano ya CAF Champions League.
“Mchezo huo ambao haukupangiwa tarehe kwenye ratiba iliyofanyiwa maboresho na kutangazwa February 2024, sasa utachezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa April 20, 2024 kuanzia saa 11:00 jioni na tayari Club za Yanga na Simba pamoja na Wadau wengine wa Ligi Kuu wamepatiwa taarifa zote kuhusiana na mchezo huo na maandalizi yake yanaanza mara moja ili kuhakikisha unafanyika katika kiwango cha juu kinachoendana na hadhi ya michezo mikubwa ya Ligi ya sita kwa ubora Barani Afrika”
Kama wanaaga mwili wa marehemuMakolo wanapita kama hawaoni kitu vile hahaha
Sasa hivi inabidi waanze maandalizi kisaikolijia ili kukabiliana na mfadhaiko watakaopata siku hiyo ikifuatiwa na mabango mji mzima.Hasira zote za kuisapot Mamelod kwenye goli la dhuluma zitaamia kwao, tumeona muimba taarab wao Ahmed Aly kwenye clip anashangilia yanga kuondoshwa Sasa wameyakanyaga na wameyatimba wachezaji Wana hasira ya kufa mtu ngoja siku ifike watanena kwa lugha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzimu wa masandawana unawatesa badoo?Mamelod itawaponza Makolo.Wataeleza walikuwa wanashabikia nini.