Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,303
- 14,148
Wacha kauli za kidini wewe.Masifa country....
ni mwendo wa kusifu tu...ukitaka ubaya....kosoa
pia nmegundua huenda JK hakufanikiwa sana kwa sababu ya dini yake....
Unakumbuka wakati wa awamu ya nne ya JK, Askofu Method Kilaini wa Kanisa Katoriki alisema.
" Raisi Jakaya M. Kikwete ni Chaguo la Mungu "
Kauli hiyo aliitoa kama Askofu na wengi walimpinga na kumkejeri sana.
Leo hii wale wale waliompinga Askofu Kilaini wanasema Kauli za Maaskofu zinamtazamo wa Kidini.
Acheni kuendekeza udini mnapo kuwa na matatizo yeni.
Mhadhama Kardinali Pengo ametoa kauli hiyo yenye kubeba maaana nyingi za Kitheolojia na Kifilosofia.
Ni wachache mtakao mwelewa.
Kwa mimi ndiyo awami hii ina maisha rahisi zaidi kuliko awamu zote.
Mwenye uwezo ametumia awamu hii kutafuta njia mbadala ya kujiingizia kipato na amefanikiwa kuipata.
Mnaosubiria kuongezewa mshahala, endeleeni kusubiri.
Wacha kulala chukua Jembe ukalime, Jembe halijawahi kumtupa mtu.
Nchi ina fulsa kibao
Acha kulialia kama hujapewa Akili na Mwenyezi Mungu.
Cheti feki sio kukosa kalatasi lenye maksi halali.
Cheti feki ni Kichwa feki.
Ashakum sio Matusi.