Umeolewa wewe binti au ndiyo unatafuta bwana?Huyu Zitto atawatembeza paku wazee wa Ufipa street. Mwamtaka mwajifanya hamumtaki, poleni sana--mwenzenu ameshawwaga amewaambia hana muda na nyie tena. Fanyeni yenu naye afanye yake. Sasa kama amebuma sio ndiyo nyie mfurahie unalialia nini tena hapa?