Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,817
- 62,027
Kwanza nataka nikiri kuwa wazungu ni wajanja. Wao huwa wanaact kwa mtindo wa good cop vs bad cop. Safari hii Marekani na Israel walikuwa bad cops huku Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zikijifanya kama ziko mbali lakini behind the scenes wako pamoja.
Leo Trump ametangaza ceasefire kati ya Israel na Iran, lakini kuna mambo yamechangia kufikia hapo.
1. Mosi hofu ya Iran kufunga strait of Hormuz kiukweli kabisa ndiyo iliyokuwa game changer. Hii ingeumiza uchumi wa Marekani, dunia, na lawama ya dunia nzima ingeenda kwa Marekani
2. Pili Interceptors za Israel kuzuia makombora ya Iran zilikuwa zimeanza kuisha, maana yake ni kwamba Miji ya Israel ingeendelea kupondwa na missiles za Iran
3. Camp ya MAGA kule Marekani, ambayo ilimchagua Trump kwa hoja ya kutoiingiza marekani ktk vita huko middle east ilikuwa imeanza kuchachamaa, Wananchi wa Marekani walianza kumiminika mitaani kupinga vita.
4. Lakini pia huenda ilikuwa ktk plan za kivita za Israel na Marekani kuwa wakishamaliza kulipua vinu vya Nyukilia na kupiga targets kadhaa za kijeshi ndani ya Iran basi waanze de-escalation process. Yaani waanze sasa diplomasia na Iran kwa sababu baada ya kulipuliwa vinu vyake, Iran haitokuwa na bargsining power ya kutosha.
Kiufupi: Iran imejitahidi sana kwenye hii vita, ilishtukizwa, ikauliwa makamanda wake, ikafanikiwa kuficha Uranium yake na baadhi ya mitambo muhimu ya kuenrich Uranium. Ikajiorganise, Ikaanza counter attacks ambazo nazo zimeiumiza Israel kwelikweli.
Israel ilizoea kupeleka kichapo kwa wengine, Leo na yenyewe imeshuhudia miji yake ikichakazwa, nadhani sasa itajifunza kuwa Vita vina consequences.
Leo Trump ametangaza ceasefire kati ya Israel na Iran, lakini kuna mambo yamechangia kufikia hapo.
1. Mosi hofu ya Iran kufunga strait of Hormuz kiukweli kabisa ndiyo iliyokuwa game changer. Hii ingeumiza uchumi wa Marekani, dunia, na lawama ya dunia nzima ingeenda kwa Marekani
2. Pili Interceptors za Israel kuzuia makombora ya Iran zilikuwa zimeanza kuisha, maana yake ni kwamba Miji ya Israel ingeendelea kupondwa na missiles za Iran
3. Camp ya MAGA kule Marekani, ambayo ilimchagua Trump kwa hoja ya kutoiingiza marekani ktk vita huko middle east ilikuwa imeanza kuchachamaa, Wananchi wa Marekani walianza kumiminika mitaani kupinga vita.
4. Lakini pia huenda ilikuwa ktk plan za kivita za Israel na Marekani kuwa wakishamaliza kulipua vinu vya Nyukilia na kupiga targets kadhaa za kijeshi ndani ya Iran basi waanze de-escalation process. Yaani waanze sasa diplomasia na Iran kwa sababu baada ya kulipuliwa vinu vyake, Iran haitokuwa na bargsining power ya kutosha.
Kiufupi: Iran imejitahidi sana kwenye hii vita, ilishtukizwa, ikauliwa makamanda wake, ikafanikiwa kuficha Uranium yake na baadhi ya mitambo muhimu ya kuenrich Uranium. Ikajiorganise, Ikaanza counter attacks ambazo nazo zimeiumiza Israel kwelikweli.
Israel ilizoea kupeleka kichapo kwa wengine, Leo na yenyewe imeshuhudia miji yake ikichakazwa, nadhani sasa itajifunza kuwa Vita vina consequences.